Posts

Showing posts from May, 2017

VIDEO - SAIGON wishing all muslim Ramadan Kareem

A short video of the Ex-hip hop artist Saigon (Saleh) wishing all muslim a happy Ramadan and insisting on giving sadaqa

Makala - Historia ya Hip Hop Tanzania

Image
Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza. Jina la "bongo flava" ni tokeo la matini yaliyoharibiwa kutoka "bongo flavour", ambapo "bongo" ni wingi wa neno ubongo ambapo mara nyingi huchukua nafasi ya kutaja jina la utani la Dar es Salaam, jiji ambalo mtindo aina ya mtindo huu inatokea. Katika bongo flava, sitiari ya "bongo" inaweza kutaja zaidi maana ya ujanjaujanja wa mtaani, ya msela au masela wingi wake. Istilahi ya "bongo flava" ilitajwa kwa mara ya kwanza mnamo 1996 na Radio One 99.6 FM (moja kati ya redio za kwanza kabisa za binafsi nchini Tanzani...

Difference Between Online Journalism and Offline Journalism

Difference Between Online Journalism and Offline Journalism today online journalism is going on peak because every one wana interact with each other.first difference is online journalism is a two way step of communication u can give feedback on the spot in any thing rather in offline journalism it is a one way communication. You can not share or give feedback to other.the example of off journalism is newspaper,tv etc. u can not give response to other. and in online journalism online media include facebook,twitter and myspce etc

Kitu ambacho watakiwa kukifanya endapo utahisi siku yako haiko poa

Image
 Unaamini kabisa kwamba siyo siku zote huwa zinafanana. Mara nyingine siku huanza vema na kuendelea kwa furaha amani na mafanikio hadi mwisho wa siku hiyo. Mara nyingine siku yako huanza vibaya na kuishia vizuri, lakini ziko siku ambazo huonekana kuanza kwa mabalaa kama vile bahati mbaya, kupoteza vitu, kuumia, au huzuni ya moyoni na wengine hutabiri muonekano wa siku nzima kuanzia kwa yale yaliyojiri asubuhi. Watasha wamesema: “siku njema, huonekana asubuhi” maana yake, mara nyingine hata siku mbaya pia hujionyesha katika mwanzo wa siku hiyo. Najua kuna baadhi ya imani zisizo rasmi ambazo hujaribu kulielezea suala hili. Mfano; Ukiona bundi asubuhi au ukipishana na vyoka njiani basi kuna walakini na siku yako hiyo. Wapo wengine hasa wazungu ambao husema : “ameamkia upande mbaya wa kitanda” sina uhakika kama kuna upande mbaya na mzuri wa kitanda. Nia yangu ni kujaribu kukupa namna za kitaalamu zinazoweza kukusaidia kuigeuza siku yako iliyoonekana kuanza vibaya ...

May Your Souls Rest In Peace

Image
Inna lillah wainna ilayh raji3uwn      Mwenyezi Mungu warehemu waja wako hakika leo wamerudi kwenye maisha yasiyo na mwisho (The Life Which Has no End) .... See you again brothers and sisters...we will always pray for you all (REST IN PEACE)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anunua hisa katika mtandao wa simu za mkononi ya Vodacom

Image
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema amenunua hisa za kampuni ya Vodacom Tanzania Plc zenye thamani ya shilingi milioni 10 pamoja na nyingine za shilingi milioni 10 kwa ajili ya mke wake, Mary Majaliwa. Alitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari mbele ya wakuu wa masoko ya Hisa na Dhamana, Soko la Hisa la Dar es Salaam, viongozi wa Baraza la Uwezeshaji na Kampuni ya Vodacom katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam. Pamoja na kueleza alichofanya, Waziri Mkuu aliwasihi Watanzania walioko ndani na nje ya nchi wachangamkie fursa ya kununua hisa hizo ili waweze kuwa wamiliki wa kampuni kupitia hisa zao. Alisema anajua watumishi wa umma wamepewa fursa ya kununua hisa hizo kupitia mipango iliyowekwa na Makatibu Wakuu wao, lakini pia amewasihi viongozi mbalimbali wa Serikali na taasisi wachangamkie fursa hiyo ili nchi iweze kupata kodi kupitia makampuni hayo. Akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na hadhira hiyo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ph...

Darassa - Hasara Roho (official video)

Darassa - Hasara Roho (official video)

SERIKALI YAAMUA KUAGIZA SUKARI NJE

Image
  SERIKALI YAAMUA KUAGIZA SUKARI NJE Serikali ya Tanzania imeiagiza Bodi ya Sukari nchini(SBT) kuagiza Sukari nje ya nchi kutokana na upungufu uliosababishwa na kufungwa kwa viwanda. Hatua hiyo imefikiwa baada ya utafiti uliofanywa kuonyesha kuwa bei ya sukari nchini imepanda katika maeneo mbali mbali, huku bei ikiwa kati ya shilingi 2600/- mpaka kiasi cha shilingi 3000/-. Mnamo mwaka jana SBT ilipanga bei elekezi ya sukari kuuzwa kwa kiasi cha shilingi 1800/- kwa kilo, lakini inaonyesha agizo hilo halikufuatwa na wauzaji pamoja na wasambazaji wa bidhaa hiyo. Sasa basi imeona bora hiiagize Bodi husika yaani (SBT) kuagiza sukari kutoka nje ya nchi kutokana kuwepo na uhafifu wa viwanda   vya uzarishaji.  

MOROGORO AFTER NECTA BASH 2017

Image
MOROGORO AFTER NECTA BASH 2017 Haya sasa baada ya kidato cha nne (4) kubeng kwa sana ndani ya Kingstone Night Club, Bhaasi   kidato cha sita   yaani Form six (6). After Pens Down yaani   MOROGORO AFTER NECTA BASH   tuna buruduka kwa pamoja ndani ya ukumbi wa Kingstone uliopo NaneNane (8/8) kwa Mtonyo wa buku 3000/=tu mlangoni ambayo itakua siku ya Ijumaa ya tarehe 12 / 05 /2017 kuanzia   mida yetu ile ya ngoma 07:00 usiku    mpaka kokorikoo!! Na Ma Dj’s wakali ndani ya mjengo … Dj S.paul mikono michafu na m2 mbaya Dj.Burna … Hii sio ya kukosa … Unaanzaje kukosa kwa mfano ????

Maufundi comedian - Jike Shupa remix

Maufundi mara baada ya kuielewa nyimbo ya Nuh Mzuwanda ft Ali kiba aka amua kushoot video na yeye.

Makala - Kilimo cha Mboga Mboga

Image
Mti wa Bilinganya UA NDAAJI WA KILIMO CHA MBOGA MBOGA Kilimo ni hazina katika nchi yoyoe mali hiyo ina manufaa kwa mtu binafsi na    kwa taifa kwa   ujumla.Nchi yetu ya Tanzania ina kilimo cha aina nyingi ,baadhi ya vilimo hivyo ni vya mboga mboga na matunda   na chakula.              Hii leo tunakuletea kilimo cha   mboga mboga hasa tunaangazia zaidi kilimo cha   mchicha,kabichi na Chinese ambavyo ndivyo vinatajwa nqa wtu wengi kuwa ndiyo mboga maarufu na inzaalishwa kwa wingi   katika nchi ya Tanzania. Tunaanza na zao la mchicha,Mchicha ni zao ambalo   hulimwa kwa wingi sehemu yenye udongo wa ufinyanzi na utifutifu kwa mkoa wetu   wa Morogoro hasa Morogoro mjini zao la mchicha hulimwa sana maeneo ya mji mpya,kichangani na maeneo mengine ambayo yamepitiwa na mito au sehemu nyingine zenye maji mengi. Mchicha umegawanyika katika sehemu kuu mbili nazo   ni mchicha wa...